Tukio ya kesho yake jemadari Laurent Nkunda ni gani?

Jemadari Laurent NKUNDA, kiongozi wa zamani wa chama cha waasi CNDP, ame kamatwa na kufungwa huko incini Rwanda tangu mwezi wa januari. Ni nini anayo shtumiwa na wakati gani ndiyo ata rejeshwa incini congo ya kidemocratiya ili ahukumiwe kama wanavyo omba

Tukio ya kesho yake jemadari Laurent Nkunda ni gani?

Jemadari Laurent NKUNDA, kiongozi wa zamani wa chama cha waasi CNDP, ame kamatwa na kufungwa huko incini Rwanda tangu mwezi wa januari. Ni nini anayo shtumiwa na wakati gani ndiyo ata rejeshwa incini congo ya kidemocratiya ili ahukumiwe kama wanavyo omba

Friday, 8 May, 2009
IWPR

IWPR

Institute for War & Peace Reporting

Frontline Updates
Support local journalists